Jumapili, 17 Mei 2020

NASAHA ZANGU KWAKO MUJSLAMU

MAMBO 3 YANALETA MARADHI KTK MWILI. 
1-Maneno mengi.
2-Kulala saana.
3-Kula sana.

-------------------------------------
🎾 MAMBO 4 YANADHOOFISHA MWILI 
1-Kufikiria sana.2-Kuhuzunika. 
3-Kukaa na njaa. 4-Kukesha.
-------------------------------------
🎾 MAMBO ma 4 YANAFAFANYA USO UWE NA BASHASHA .1-Kumcha Allah. 2-Kujitosheleza.3-Ukarimu. 
4 - Uwe mtu Muruwa. 
-------------------------------------
🎾MAMBO 4 YANALETA RIZKI.
1-qiyamu ley. 
2-Kukithirisha istighfar hasa wakati wa usiku sana. 
3-Kutekeleza ahadi. 
4-kufanya adhkar mwanzo wa Siku na mwisho wa Siku. 
-------------------------------------
MAMBO 4 YANAZUIA RIZKI. 
1-Kulala wakati wa asubuhi. 
2-Kutoswali.
3-Uvivu.
4.Kua na khiyana. 
-------------------------------------