Jumapili, 2 Aprili 2017

TIBA YA VIDONDA VYA TUMBO


Kila Tiba kati ya zifuatazo ni yenye kujitegemea.Chagua iliyo rahisi kwako.Isipokufaa ndipo uchague nyengine

TIBA 1:
Tafuta glasi 1 (250ml) ya asali.Weka matone 10 ya  habbat saudai.Changanya na  kijiko kimoja (10ml) cha unga wa ganda  la komamanga.
 Mgonjwa atakunywa  dawa hii kutwa mara 1 (1—1)  kwa muda wa siku 60 mfululizo.
Ni bora  kutumia  dawa hii asubuhi mapema kabla mgonjwa hajakula chochote.
TIBA 2:
 Chukua kopo moja (1Ltr) la maji safi changanya kijiko kimoja kidogo (5ml) cha bizari ya pilau (uzile) na kijiko kidogo (5ml) cha unga wa haba soda.
 Chemsha halafu iwache ipoe.Kunywa kikombe kimoja cha chai (200ml) kila siku (1—1) kabla ya kulala.

Tahadhari;usitumie vitu kama kahawa,pilipili na vitu vyengine vyote vikali


REFERENCE